Leanne Kemboi > Leanne's Quotes

Showing 1-30 of 197
« previous 1 3 4 5 6 7
sort by

  • #1
    Enock Maregesi
    “Watu wanapokuwa katika migogoro maisha yao hutakiwa kurahisishwa. Kuna ukingo mwembamba kati ya uzima na wazimu.”
    Enock Maregesi

  • #2
    Mahatma Gandhi
    “Be the change that you wish to see in the world.”
    Mahatma Gandhi

  • #3
    Mahatma Gandhi
    “Live as if you were to die tomorrow. Learn as if you were to live forever.”
    Mahatma Gandhi

  • #4
    Martin Luther King Jr.
    “Darkness cannot drive out darkness: only light can do that. Hate cannot drive out hate: only love can do that.”
    Martin Luther King Jr., A Testament of Hope: The Essential Writings and Speeches

  • #5
    Enock Maregesi
    “Kinachotokea leo kitatuathiri kesho. Mbegu tunazopanda sasa ni mazao ya msimu ujao.”
    Enock Maregesi

  • #6
    Enock Maregesi
    “Kila mtu hapa duniani ni jirani yako. Hakuna mtu mwingine hapa ulimwenguni isipokuwa sisi. Lazima tujifunze kuishi pamoja.”
    Enock Maregesi

  • #7
    Enock Maregesi
    “Kufanya kosa huku ukijua ni kosa ni kujiombea jela mwenyewe.”
    Enock Maregesi

  • #8
    Enock Maregesi
    “Ukiishi Mexico City katika daraja la watu wakubwa na wewe na anasa ni marafiki wakubwa, hutapenda kuendesha gari ambayo kila mtu anaendesha mjini. Nunua gari na kuibadilisha kuwa ya kwako. Lisa aliponunua gari yake huko Ejército Nacional Mexicano, Mexico City, katika duka la Ferrari, aliipeleka Los Angeles kwa marekebisho aliyoyataka. Ferrari haikuwa ya kawaida. Mbali na kinga ya risasi ya inchi nne, Ferrari ya Lisa ilikuwa na mwendo mkali na matairi makubwa kuliko Ferrari za kawaida. Ilikuwa na rangi tatu: nyeusi, pinki na njano zilizokuwa zikibadilika kulingana na hali ya hewa; na kadhalika ilikuwa na breki ya upepo kwa nyuma, katika buti ya aluminiamu, kwa ajili ya kuikandamiza chini wakati wa mwendo mkali, ili isiyumbe sana barabarani. Lisa peke yake ndiye aliyekuwa na gari ya namna hiyo Mexico City nzima.”
    Enock Maregesi

  • #9
    Enock Maregesi
    “Usalama wa Taifa ni akili si ukali. Kazi yake, au wajibu wake; ni kukusanya, kuchanganua, kudurusu na kuunganisha kwa makini, taarifa nyeti za kijasusi za ndani na nje ya nchi kuilinda Tanzania na watu wake. Ukitaka kuwa na akili kuwa kawaida. Ukitaka kuwa na nguvu kuwa mkarimu. Ukitaka kuwa tajiri kuwa tajiri wa unyenyekevu.”
    Enock Maregesi

  • #10
    Enock Maregesi
    “Rais wa Tume ya Dunia hakuchaguliwa kuwa kitu katika tume. Alichaguliwa kufanya kitu katika dunia.”
    Enock Maregesi

  • #11
    Enock Maregesi
    “Sema hapana kwa ndiyo nyingi kwa sababu hawaoni unachokiona. Ndoto yako waijua mwenyewe.”
    Enock Maregesi

  • #12
    Enock Maregesi
    “Kolonia Santita ni tofauti na hadithi zingine kwa sababu ya wapelelezi wake. Wapelelezi wake ni makomandoo-wapelelezi-wanajeshi.”
    Enock Maregesi

  • #13
    Enock Maregesi
    “Watu wanaohatarisha maisha yao kwa kudharau sheria wakati mwingine hawatakiwi kudharauliwa. Ni sawa na mtu aliyepoteza kila kitu katika maisha yake. Wana uwezo wa kufanya chochote.”
    Enock Maregesi

  • #14
    Enock Maregesi
    “Vichwa vitatu vya sururu na chembe tatu za bunduki za Kalashnikov; na alama ya bahati, mafanikio, udhalimu na mwanzo mpya ya msalaba wa swastika, kama alama ya ujenzi na uhalifu wa Kolonia Santita.”
    Enock Maregesi

  • #15
    Enock Maregesi
    “Joram Kiango ni mpelelezi maarufu nchini Tanzania. Willy Gamba ni mpelelezi maarufu katika bara la Afrika. John Murphy ni mpelelezi maarufu duniani. Ni watu watatu tofauti wanaofanya kazi zinazofanana.”
    Enock Maregesi

  • #16
    Enock Maregesi
    “Mihadarati ni chanzo kikubwa cha matatizo ya wanadamu. Mshahara wake ni wazimu, uhalifu na mauti.”
    Enock Maregesi

  • #17
    Enock Maregesi
    “Tusipambane na madawa ya kulevya peke yake. Tupambane na elimu ya madawa ya kulevya pia.”
    Enock Maregesi

  • #18
    Enock Maregesi
    “Kolonia Santita ni kitabu cha Kiswahili. Si Kingereza wala Kihispania. Lazima tujifunze kuipenda na kuitetea lugha yetu kwa manufaa ya vizazi vijavyo.”
    Enock Maregesi

  • #19
    Enock Maregesi
    “The best prize life has to offer is not a chance to work hard and be something in the community. It is the perfume of God that resides within you.”
    Enock Maregesi
    tags: peace

  • #20
    Enock Maregesi
    “Mwalimu Julius Nyerere was a father to his family. To Tanzania he was a defender of a dream.”
    Enock Maregesi
    tags: legend

  • #21
    Enock Maregesi
    “Sex to me is not luxury any more. It is necessity of reproduction.”
    Enock Maregesi

  • #22
    Enock Maregesi
    “It is quite disappointing that people you love the most don't love what you love the most. They don't know you. Don't apologise for your dreams.”
    Enock Maregesi

  • #23
    Enock Maregesi
    “Two plus two is not sometimes equal to four ... It is equal to four plus one because one is a powerful amalgamation.”
    Enock Maregesi

  • #24
    Enock Maregesi
    “Usitegemee malaika ashuke kutoka mbinguni kuja kukutatulia shida zilizokushinda kwa uzembe. Malaika ni wewe mwenyewe. Ukifanya unachoweza kufanya, Mungu atafanya usichoweza kufanya.”
    Enock Maregesi

  • #25
    Enock Maregesi
    “Las Vegas. Madhali umeona tunafanya nini katika maisha, fumba macho kwa kuyakodoa. Wanaosema hawajui wanaojua hawasemi. Siri ni siri milele. Kinachofanyika hapa hubakia hapa.”
    Enock Maregesi

  • #26
    Enock Maregesi
    “Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.”
    Enock Maregesi
    tags: change

  • #27
    Enock Maregesi
    “Wazazi wetu ni watu wa kuheshimu kuliko kitu chochote. Wanaweza kuona tusipoweza kuona – nyuma na mbele ya tarehe zetu za kuzaliwa.”
    Enock Maregesi

  • #28
    Enock Maregesi
    “Watu wa kulisaidia bara la Afrika hawatatoka Amerika au kwingineko. Afrika ni tatizo letu. Watatoka Afrika kwenyewe.”
    Enock Maregesi
    tags: africa

  • #29
    Enock Maregesi
    “Mojawapo ya misingi ya ujasusi ni kuwa na uwezo wa kutofautisha kati ya unachojua, usichojua na unachofikiria. Unaweza kusema unajua wakati hujui. Maamuzi yasiyo sahihi ya kijasusi huweza kuiletea tume madhara makubwa.”
    Enock Maregesi

  • #30
    Enock Maregesi
    “Nimebadili utaratibu wangu siku hizi kutokana na maadili ya watoto wetu. Siongei na watoto wangu kuhusu Mungu. Naongea na Mungu kuhusu watoto wangu. Yesu alilipa gharama ya maisha yake kutununua kutoka kwa Shetani. Tumrudie; hususan katika kipindi hiki ambacho dunia imekata tamaa.”
    Enock Maregesi



Rss
« previous 1 3 4 5 6 7